BABU SEYA AACHIWA HURU

Leo tar. 09.12.2017, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemsamehe mwanamziki Babu Seya aliyekuwa amefungwa katika gereza la Ukonga jijini Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

THE MEANING OF TRUE HAPPINESS (maana ya Furaha ya Kweli)

Ujumbe wa Kwaresima kuhusu Msamaha

PENDO LISILO NA MWISHO