Leo tar. 09.12.2017, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemsamehe mwanamziki Babu Seya aliyekuwa amefungwa katika gereza la Ukonga jijini Dar es salaam.
INTRODUCTION Happiness or beatitude is a personal possession of a desirable good, ultimately the perfect good of an intellectual nature [1] . It is man’s chief good which signifies the state of satisfaction which a person feels on fulfilment of his or her desire by the possession of the good. It is also said that a happy person is one to whom good things happen. All rational beings have a special goal which they admire and that is happiness. It is only a rational being which can attain happiness. They alone can reflect on the state and consciously appreciate the satisfaction they enjoy. On the other hand animals cannot attain happiness because they move towards ends and have appetites that can only be satisfied by things good for them instinctively. Philosophically, happiness can be understood as the moral goal of life or as an aspect of chance; it is synonymous with luck. Thus, phi...
Ndugu zangu, dhambi ni ugonjwa ambao dawa yake na Mganga wake mkuu ni Bwana wetu Yesu Kristo. Kristo ndiye mponyaji wa roho iliyokufa: katika umoja na roho mtakatifu huifufua roho-mfu na kuifanya mpya, takatifu isiyokuwa na doa. Kristo kwa asili hapendi roho batizwa ipotee, bali kila ipoteapo huitafuta kwa upendo, kama vile masikini atafutavyo Dhahabu katika shimo la machimbo. Huruma ya Mungu hutuvuta kila wakati tunapoanguka katika dhambi. Moyo wa mtu uliovunjika na kuguswa hupata maumivu na kuimba Huruma ya Mungu, Mtu huyo mdhamdi aijongeapo altare ya Huruma ya Mungu kwa dhati na unyenyekevu huchota neema tele na kuhuishwa nafsi yake. Tendo la kuomba Huruma ya Mungu huitwa Toba au Msamaha au Upatanisho au Maungamo au Uongofu au Kitubio. Mgonjwa huhisi uchungu na chuki kubwa dhidi ya dhambi alizozifanya kisha huomba msamaha kuanzia katika nafsi yake, kwa jilani yake na kisha kwa Muumba...
PENDO LISILO NA MWISHO Ndugu msomaji, Mungu ni upendo ! upendo wake ulijificha ndani ya "Neno" kabla hajauumba ulimwengu. Kwa Hekima yake ya ajabu inayopita ufahamu wa kibinadamu na yanye kuhuishwa na pendo lake, aliumba vyote vilivyomo Mbinguni na Duniani kwa neno la upendo. Katika uumbaji wake Mungu alimuumba mwanadamu kwa sur yake halisi. Hivyo pendo lote la Mungu lilitua katika wazo na Hekima ya kumuumba mwanadamu ili apate kuwa mkamilifu mwenye neema zote za kiroho na kimwilikulingana na kipimo cha Mungu. Licha ya kumuumba mwanadamu, Mungu alimweka mahali pazuri Bustanini ili (w)apate kuvitawala vyote vilivyomo na kufurahia uzuri wake huku akimwabudu, kumtukuza, kumsifu na kumwomba lolote atakalo ilimladi tu lifanane na mapenzi ya muumba wake. Mwanadamu...
Comments
Post a Comment