Alikuwa muimba #Kareoke tu, mwaka 2016 ndipo alipata nafasi ya kujaribiwa kwenye ligi kuu ya burudani.
#TigoFiesta2017 imezidi kudhihirisha ubora wake kwani mwaka huu anatajwa kuwa kati ya ya wasichana wachache wanaofanya vizuri kwenye muziki.
Leo katajwa kwenye orodha ya kwanza ya wasanii wataopiga #TigoFiestaKubwaLao lakini pia leo ni siku yake ya kuzaliwa.
#HappyBirthdayNandy, Wasalimie Nigeria: Dar inakusubiri. @officialnandy

Comments

Popular posts from this blog

Ujumbe wa Kwaresima kuhusu Msamaha

THE MEANING OF TRUE HAPPINESS (maana ya Furaha ya Kweli)

Maisha ya Fadhila na changamoto za wakristo wa mashariki ya mbali.