Mnunuzi wa nyumba mbili za mfanyabiashara Said Lugumi, Dk Loius Shika inadaiwa kuwa ni tapeli na anashikiliwa na jeshi la polisi kwa maelezo zaidi. Kutokana na tukio hilo mnada wa Nyumba za Mfanyabiashara huyo utarudiwa. Nini maoni yako?

Comments

Popular posts from this blog

THE MEANING OF TRUE HAPPINESS (maana ya Furaha ya Kweli)

Ujumbe wa Kwaresima kuhusu Msamaha

PENDO LISILO NA MWISHO