Tukiwa #Morogoro , @vanessamdee alieleza kwamba @juma_jux amekuwa akiomba sana warudiane lakini yeye bado hajakubali.
Alisema nafasi ya mwisho kwa Jux itakuwa #TigoFiestaKubwaLao hapa Dar es Salaam ambapo Jux atapewa dakika 15 za kumshawishi V warudiane.
#TigoFiesta2017 DSM ni November 25, Je @juma_jux na @vanessamdee wataruadiana jukwaani?

Comments

Popular posts from this blog

Ujumbe wa Kwaresima kuhusu Msamaha

THE MEANING OF TRUE HAPPINESS (maana ya Furaha ya Kweli)

Maisha ya Fadhila na changamoto za wakristo wa mashariki ya mbali.